Haji Manara, sipoi hata tone, otherwise waje kuniua

mshale21

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
2,126
Reaction score
5,068
"Msifadhaike hata kidogo tuombe uhai tu coz dhulma huwa haina mwisho mwema na always haki hushinda, ni suala la muda tu".

"Sipoi hata tone na tabu ipo pale pale sana sana ndio itazidi, otherwise waje kuniua".
 
"Msifadhaike hata kidogo tuombe uhai tu coz dhulma huwa haina mwisho mwema na always haki hushinda, ni suala la muda tu".

"Sipoi hata tone na tabu ipo pale pale sana sana ndio itazidi, otherwise waje kuniua" View attachment 2299825
Amuue nani alishajifia siku nyingi,domo limeshaoza linatoa maneno na harufu mbaya
 
Jamani si mnasema albino hafi? Ngoja nisubilie mazishi ya albino.
 
We acha ujinga hiyo kesi ta pafyumu kashinda mahakamani
ila yeye akishindwa kesi TFF ni dhulma siyo? albadiri zinazopigwa huko oman ni za kiwango cha juu, kuna siku mtu atapiga visu watu barabarani...na wale waliotapeliwa magari akiwa katibu wa ccm????haki yao je? shida wanamtoa kwenye misala yake wanampa kichwa sana
 
Leo yupo Unguja anauza sura kwenye mazishi ya Bi Sonia,analazimisha furaha usoni
 
Huku kulalamika kwake kila dakika ndio anateseka, ajue hilo, kama hateseki angenyamaza kimya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…