Acha usimba weweAmuue nani alishajifia siku nyingi,domo limeshaoza linatoa maneno na harufu mbaya
Bwege wewe
Kwani Simba ndiyo walimtuma akatukane? Simba ndiyo wamemfundisha kuvuta bangi? Wacha abebe madhambi yake mwenyewe.Simba Manara mlifukuza wenyewe, kaenda yanga imeshinda kombe la ligi kuu na mengineyo mnanuna... Kuchukia mafanikio ya mtu ni aina ya Uchawi wa kuzaliwa nao.!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha bangi na urudi kweli kwa Allah sio unatuambia alhamdulillah wakati unakula ndumu... Jipumzishe kaa dukani kwa GSM angalia magodoro yanavyouzwa jioni nend msikitini kisha lala Allah atakusaidia Gongowazi wahed
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
... tatizo nyie mashabiki wa simba baada ya ku-concern na mambo yenu mmekazania kumfatilia yeye na hiyo inaonesha hamkujipanga kumfukuza na mlikuwa bado mnamuhitaji mlitaka awalambe miguu nlakini litatimia lililosemwa Walitikisa kiberiti wakakuta kimejaa.Kwani Simba ndiyo walimtuma akatukane? Simba ndiyo wamemfundisha kuvuta bangi? Wacha abebe madhambi yake mwenyewe.
Hakuna wakumuua huyu aache mikwara.Sipoi hata tone na tabu ipo pale pale sana sana ndio itazidi, otherwise waje kuniua"