Haji Manara una mizigo mingi kutua-baki nayo,achana na Simba Sc

Haji Manara una mizigo mingi kutua-baki nayo,achana na Simba Sc

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Jana huyu mpayukaji aliitia press conference isiyo na kichwa wala miguu. Press conference isiyo na ajenda yeyote zaidi ya kupayuka na kupovuka.

Kama kawaida yake,katika kutoa povu amejikuta anaijadili Simba Sc. Kwamba hata yeye anatamani Simba Sc ishinde kombe la CAF.
JamiiForums-906528712.jpg

Hatutaki maombi ya kinafiki. Juzi tu uliandika kwenye mitandao ukiuambia umma kwamba ushindi wa Simba Sc hutegemea mbinu chafu na ukawaelekeza wapinzani nini cha kufanya. Hayo mapenzi na Simba umeyatoa wapi? Umewahi kuomba radhi kwa hilo?

Ameenda mbali zaidi na kumbeza Ahmed Ally kuambatana na mashabiki katika kuhamasisha mashabiki kwenda uwanjani. Anasema hawezi kupanda lori. Upande lori kwenye jua kwa afya gani uliyonayo? Ukipiga route moja tu kwenye jua kali tunakuzika

Huyu mtu ana mizigo mingi sana ameibeba, mizigo ya kufitinisha watu, mizigo na uzushi na umaarufu wa kukashfu. Mizigo ya ndoa na umaarufu kunuka.

Namshauri ahangaike kuitua mizigo aliyobeba badala ya kuhangaika na Simba Sc
 
Shida ni moja ya huyu jamaa anataka kulazimsha kuwa yeye ndiye alikuwa the best na alichangia pakubwa kwenye mafanikio ya simba. Nilishangaa alisema eti nilikuja na ubingwa wangu na nimeondoka nao. Yaani kwa tafsiri yake simba haitakuja kubeba ubingwa tena hadi yy aamue.

Hv si ni vichekesho?😂😂😂
 
Shida ni moja ya huyu jamaa anataka kulazimsha kuwa yeye ndiye alikuwa the best na alichangia pakubwa kwenye mafanikio ya simba. Nilishangaa alisema eti nilikuja na ubingwa wangu na nimeondoka nao. Yaani kwa tafsiri yake simba haitakuja kubeba ubingwa tena hadi yy aamue.

Hv si ni vichekesho?😂😂😂
Aliyekuja na ubingwa pale Simba Sc ni MO Dewji, haji alikuwepo Simba kipindi kirefu tu kabla ya hii miaka tuliyobeba kombe mara nne mfululizo.
 
Shida ni moja ya huyu jamaa anataka kulazimsha kuwa yeye ndiye alikuwa the best na alichangia pakubwa kwenye mafanikio ya simba. Nilishangaa alisema eti nilikuja na ubingwa wangu na nimeondoka nao. Yaani kwa tafsiri yake simba haitakuja kubeba ubingwa tena hadi yy aamue.

Hv si ni vichekesho?😂😂😂
Anawaaminisha na mashabiki wa yanga kuwa hata yale magoli ya mayele 90% kachangia yeye
 
Eti amewaambia Yanga hawataanza hatua za awali katika caf championship kisa watakuwa mabingwa, mna utopolo wanapiga makofi, stupid kabisa
 
Huyo kilaza mnahangaika naye wa nn sasa wazee
 
Mbaya zaidi anasema kuwa Yanga mwakani kimataifa itaanzia kucheza round ya kwanza sio Preliminary stage. Eti kwakuwa wao ndio Mabingwa wa msimu huu.

(Nimeamini kuwa pale Yanga kuna watu wawili tu wenye akili timamu). Simba walikuwa sahihi sana kuachana nae maana ni mtu wa propaganda zaidi ya kuongea weledi.
 
Mbaya zaidi anasema kuwa Yanga mwakani kimataifa itaanzia kucheza round ya kwanza sio Preliminary stage. Eti kwakuwa wao ndio Mabingwa wa msimu huu.

(Nimeamini kuwa pale Yanga kuna watu wawili tu wenye akili timamu). Simba walikuwa sahihi sana kuachana nae maana ni mtu wa propaganda zaidi ya kuongea weledi.
Yule ni mpotoshaji sana, kama Klabu ya Yanga ijitenge na huu upotoshaji kwa umma ili ubaki kwake tu

Nashangaa hata waandishi wala hawakumuliza masuala haya ambao ni ya kitaalamu sana.
 
Kama anasema Ahmed Ally hana afya mbona tumemuona Ally akiizunguka Dar kuhamasisha mashabiki wa Simba tena jua likiwa kali sana,je'yeye angeweza kukaa kwenye jua kilasiku kwa wiki nzima?
 
unafiki wa Haji huu hapo,asiwaaminishe kabisa watu kwamba anania njema na Simba.[emoji116]
JamiiForums-906528712.jpg
 
Ila manara ana waokota misekure wake kule jangwani anasema eti yanga ndo itakuwa club ya kwanza Tanzania kuchukua club bingwa hivi team inachukua club bingwa kwa chuki tu yaani kwasababu unaichukia simba basi yanga itachukua club bingwa ila bongo ukifanikiwa lazima uchukiwe.
 
Back
Top Bottom