Haji mwinyi Kaichomesha Stars leo

Haji mwinyi Kaichomesha Stars leo

mayaJr45

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
560
Reaction score
205
Kocha mbishi kaweka Uyanga na Usimba .Shabalala yupo vizuri kuliko Haji.Matokeo yake kayapata leo.


Ila tumefungwa wote japo ushauri uzingatiwe
 
Kocha mbishi kaweka Uyanga na Usimba .Shabalala yupo vizuri kuliko Haji.Matokeo yake kayapata leo.


Ila tumefungwa wote japo ushauri uzingatiwe
Cyo lazima uanzishe topic unaweza changia tuu kwa wengine.
 
Kocha mbishi kaweka Uyanga na Usimba .Shabalala yupo vizuri kuliko Haji.Matokeo yake kayapata leo.


Ila tumefungwa wote japo ushauri uzingatiwe
Kwa hiyo isingekuwa Hasji Mwinyi tungewachapa leo
 
Sio muda wa kumtafuta mchawi nani timu yenyewe inajulikana tia maji tia maji

Waarabu pia wanajulikana kazi yao
 
Msitafute mchawi, ukweli ni kwamba tulizidiwa muda wote,
Na ukweli ni kwamba hatuingii kwa kiwango cha Misri,

Hebu niende kwenye mada za Baba Jesca mie
 
Back
Top Bottom