Ni sawa kuswali na nguo yenye logo ya kampuni ya kamari?Unajua wanafanya nini hapo?
Kamq mchezaji analamimika kutupiwa majini unadhan source ni nani hapo?Hawa wanaosali ndio wabeba majini? Ingawa ucha mungu wa mtu anaujua yeye na muumba wake but ntakuwa wa mwisho kuamini
Haji ni mlevi anavuta sigara,shisha,bangi na anakunywa pombe hivyo hawezi kubeba majini.Hana kazi yoyote pale ndani ya timu, tangu mayele apost yeye ndio amekuwa na kazi ya kumjibu na kumsihi mayele afute andiko lake.
Haji ni nani? Haji wako wengi, hata mm naitwa Haji Habibu Kondo.
Haji mbeba majini huyu, anahaha baada ya habari zake kuvuja.
Haji mbeba majini.Haji mbeba majini.Majini yako yameshtukiwa
Ili ubebe majini inabidi uwe na sifa zipi?Haji ni mlevi anavuta sigara,shisha,bangi na anakunywa pombe hivyo hawezi kubeba majini.
Hilo halina shaka cjui kwingine ambapo pesa haramu yaweza takatishwaKamari ni haramu kwenye uislam
Kwanini wavae tshi/t zenye logo ya kamari wakiwa wanaswali?Hilo halina shaka cjui kwingine ambapo pesa haramu yaweza takatishwa
Uwe na udhuIli ubebe majini inabidi uwe na sifa zipi?
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waloga?Uwe na udhu
Ni mudi .Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waloga?