Hajj Manara akitetea wimbo usio na maadili

Huyo cheupe naye ni hamnazo tu, nilimshtukia alipoanza kuitumia Simba kwa maslahi yake binafsi hasa kutafuta teuzi.
 
Basata wangesema hii nyimbo ipigwe usiku redioni na night club sio kufungiwa permanent ni kumnyima riziki mond
 
Hata kama!
Nyimbo nyingi za kibongo za sasa zinaimbwa matusi tupu na si Diamond tu,na zinaachwa tu.
Nahisi ni juhudi za wazee wa mawingu media kutaka kuwashusha WCB
Kwahyo clouds wanashirikiana na basata au wamewaambia waimbe matusi,,?? Mi naona hapa clouds mnamsingizia hahusiki Hata kunawa mkono
 
Haya tutatengeneza clean version ya Nyegezi msikilize hadi maofisini kwenu alafu hii dirty version kuanzia saa tatu usiku kwenye mabar,matamasha na kwenye clubs iruhusiwe kuchezwa mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…