The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Mzuqa wanajf.
Haki ya nani katamu halafu kanavutia balaa. Penda sana totoz dizaini hii. View attachment 1333455
Tulia wewee mgerasi Unadhani utamfananisha na wa kwako ngozi ilivyombanaAma kweli ushaanza kukosa nguvu za macho. Hiki kipipa ndicho kinaonekana kirembo kwako?
Hata me nimeshangaaa eti nimekuja mbio nione huyo mremboAma kweli ushaanza kukosa nguvu za macho. Hiki kipipa ndicho kinaonekana kirembo kwako?
Ndugu hizi vijeba ndivyo ukiona moyo wako unakosa nguvu!! [emoji15] [emoji15] Kama huna makengeza basi utakuwa na ugonjwa kutokujua kizuri na kibaya.Tulia wewee mgerasi Unadhani utamfananisha na wa kwako ngozi ilivyombana
Unalazimisha kuvuta bhangi lakini bhangi haikutaki ndio madhara yake haya,Mzuqa wanajf.
Haki ya nani katamu halafu kanavutia balaa. Penda sana totoz dizaini hii. View attachment 1333455