Haka kademu kaliobeba Kombe la EPL 2019 kukabidhi Mancity ni mrembo balaa

Najiuliza, hv nmelewa au macho yangu ndo yana makengeza!
Kweli tumetofautiana
 
Kimbia huko Ulaya ukame utakuua, mademu wakali wanakubagua umeamua kujipoza kwa vijeba.
Ulaya hayo madiaba hayana dili, yanachukuliwa kama wagonjwa hivyo kama unayapenda utayala mno na yanajua kuganda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…