Haka kamvua na kiwinta vinakukumbusha nini?

duh... mkuu yaani la pili tayari ulishaanza kuangalia ndito? kweli kilimo ni asili yetu watanzania

Nadhani ni majaliwa yake mola, kweli hisia zilikwepo ingawa vitendo ilikuwa bado lkn i was just feeling it, na si mie tu kuna jamaa yangu mmoja nilikuwa namsindikiza eti anamfukuzia mtoto wa mbunge wa KWERA (Mzi...kaya) sasa hivi yule dada nasikia yupo ulaya. dah na kenyewe kalikuwa ka sweet, sa tukiwa na miaka nane hapooooo hahahahahahahahahahahahahahah
 
It is Summer over here, 40c Temperature :angry:
 
Ni kweli wandugu mi nakumbuka mvua hizi zilikuwa kawaida huko 80's wakati huo tunaenda primary umeloa kaptula na viatu havifai. Niulize juu umejifunika nini, juu una bonge la nailoni mwamvuli walikuwa nao wanafunzi wachache hadi waalimu walikuwa wanawaazima.

Dah kweli tumetoka mbali!
 
Ni kweli wandugu mi nakumbuka mvua hizi zilikuwa kawaida huko 80's wakati huo tunaenda primary umeloa kaptula na viatu havifai. Niulize juu umejifunika nini, juu una bonge la nailoni mwamvuli walikuwa nao wanafunzi wachache hadi waalimu walikuwa wanawaazima.

Dah kweli tumetoka mbali!
 
It is Summer over here, 40c Temperature :angry:

pole sana mazee,

i am planning not to go to the office kesho ili nipate ubora wa kimvua hiki aisee, yaani shuka linakua tamu kama nini
 
what about love making katika hali hii?
 
DN mimi bwana kipindi hiki nilipokuwa shule ya msingi.............mmh nilikuwa sipendi kukanyaga maji maji au matope, kwenda shule duh kazi ya ziada ilihitajika. nilikuwa na boot zangu maalum for such days with my stockings (uchepechepe ulikuwa unaniudhi sana, sasa ndo nikiona na uchafu uchafu dizain duh hata msosi sitaki kabisa coz when am eating i would recall that) hahaaa but I looked lovely with my speicial boots n stockings lol!!!
 
Hali hii inanikumbusha matembezi ya Pamoja huku wote mmevaa Gambuti za kuzuia tope ali maarufu Rain boot.Naona jana watu wameunga azimio ile mbaya.Duh wakazi wa mabondeni, hasa jangwani,balaa tu.
 
yaani jamaa ni soo...

yani me nimecheka mbaya,teh teh
chimunguru umenikumbusha mtu mmoja ivi na team yao walikua wananisumbua balaa enzi izo tuko std 1 na 2 tuu...ukifika muda wa "kwaheri mwalimu kwaheeri-tutaonana keshooo"
 
Kipindi hiki biashara ya gesti hausi inalipa sana!
 
yani me nimecheka mbaya,teh teh
chimunguru umenikumbusha mtu mmoja ivi na team yao walikua wananisumbua balaa enzi izo tuko std 1 na 2 tuu...ukifika muda wa "kwaheri mwalimu kwaheeri-tutaonana keshooo"

hahahaah ukiona hivyo ujuwe unalipa hahahaaaaaaa.
 


nimecheka mie hiyo ilikuwa miaka ya 80 vip sasa hali kama hii ya mvua unajisikiaje?
 
Hii habari ya Mvua De Novo sio nzuri kwa siye wa mabondeni!
 

kumbe hujaanza leo B eeh! no wonder...
 
kumbe hujaanza leo B eeh! no wonder...


hahaaaa B siku hizi mbona chokest jamani..........those old good days aaah wacha bana

B speed ya net inanikwaza (miss u)
 
nimecheka mie hiyo ilikuwa miaka ya 80 vip sasa hali kama hii ya mvua unajisikiaje?

we acha tu, kama ulikua kwenye mawazo yangu!!! lazma atakua kajikunyata kishenzi na mwazo mbaliiiiiiiiiiiiiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…