Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Nimekaona sehemu haka kanyumba nikakapenda, kapo simple, bila shaka ni chumba na sebule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aka katamu kweli kweli....maegineer wa jf million mia ngapi kujenga haka?Nimekaona sehemu haka kanyumba nikakapenda, kapo simple, bila shaka ni chumba na sebule.
View attachment 3087825
Finishing yake ni nzuri ila ndani naona kama ni chumba kimoja na sebule tu. Nganzi ziko ndani zonakula nafasi kubwa.Nimekaona sehemu haka kanyumba nikakapenda, kapo simple, bila shaka ni chumba na sebule.
View attachment 3087825
Eti ngazi ziko wapi.dah😂😂Ngazi ziko wapi?
Lift iko wapi? Au mtu anapanda hapo juu kwa kupaa?Eti ngazi ziko wapi.dah😂😂
Umezoea majumba makubwa, mbona hiyo nyumba iko fresh tu.Binafsi sijaikubali bora ingejengewa chini ingekaa vizuri zaid hivyo imekaa kama kibanda cha mlinzi
Space saver. Kiwanja kidogo hapo. Nyumba ya chini yenye sqm kama hio haikai kwenye hicho kiwanja.Binafsi sijaikubali bora ingejengewa chini ingekaa vizuri zaid hivyo imekaa kama kibanda cha mlinzi
Kwa muonekano wake tu haiwez kuwa na nafasi ndani , ngazi zimeshakula nafasi hapo, sasa si bora angeijengea chini tu mzee, japokua inawezekana kafanya hivyo kutimiza ndoto ya kumiliki ghorofaUmezoea majumba makubwa, mbona hiyo nyumba iko fresh tu.
Nimewaza ndio kangu, jioni hapo juu naweka kochi na meza nakua nakunywa zangu beer tu huku nawaangalia majirani....😊Nimekaona sehemu haka kanyumba nikakapenda, kapo simple, bila shaka ni chumba na sebule.
View attachment 3087825