Haka kanyumba kadogo alafu kazuri

Haka kanyumba kadogo alafu kazuri

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Nimekaona sehemu haka kanyumba nikakapenda, kapo simple, bila shaka ni chumba na sebule.




E05AD1C7-49CA-49C8-BC41-E3AA2483D795.jpeg
 
Binafsi sijaikubali bora ingejengewa chini ingekaa vizuri zaid hivyo imekaa kama kibanda cha mlinzi
Umezoea majumba makubwa, mbona hiyo nyumba iko fresh tu.
 
Binafsi sijaikubali bora ingejengewa chini ingekaa vizuri zaid hivyo imekaa kama kibanda cha mlinzi
Space saver. Kiwanja kidogo hapo. Nyumba ya chini yenye sqm kama hio haikai kwenye hicho kiwanja.
 
Umezoea majumba makubwa, mbona hiyo nyumba iko fresh tu.
Kwa muonekano wake tu haiwez kuwa na nafasi ndani , ngazi zimeshakula nafasi hapo, sasa si bora angeijengea chini tu mzee, japokua inawezekana kafanya hivyo kutimiza ndoto ya kumiliki ghorofa
 
Back
Top Bottom