Haka kaugonjwa??

Kijana Jr

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
560
Reaction score
845
Wakuu msaada kuna katatizo kamenipata mwanzo wa wiki hii kuanzia jmosi yani najing'ata ng'ata kwenye ulimi kwa siku mpaka Mara tano daah yani mpaka sina raha wakuu najua humu kuna wataalamu kejeli matusi mnakaribishwa maana ntakua nimepata kipoint
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…