Hakainde Hichilema aapishwa kuwa Rais wa 7 wa Zambia

Hakainde Hichilema aapishwa kuwa Rais wa 7 wa Zambia

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Hakainde Hichilema ameapishwa kuwa Rais wa Taifa hilo katika sherehe ambayo imehudhuriwa ya maelfu ya watu Jijini Lusaka.

Anakuwa Rais wa 7 kuongoza Taifa hilo baada ya kumshinda Edgar Lungu katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 12, 2021 Uapisho wake umehudhuriwa na Marais wa Nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania, Afrika Kusini, Zimbabwe, Kenya, Namibia na Botswana.

=====

Zambia's veteran opposition leader Hakainde Hichilema has been sworn in as president in front of a packed stadium in the capital, Lusaka.

His election has raised the hopes of his counterparts in other African states that they too can overcome state repression and one day rise to power.

During a long political career that saw him fail in five previous bids to become president, Mr Hichilema was brutalised, tear-gassed and even detained for a traffic offence in 2017 that was deemed treasonous after his convoy failed to give way to the motorcade of outgoing President Edgar Lungu.

But in an extraordinary reversal of his fortunes, the man once declared an enemy of the state will be sworn in as Zambia's seventh president after defeating Mr Lungu in their latest election duel on 12 August.

Source: BBC
 
Back
Top Bottom