Hakatwi mtu hapa

Hakatwi mtu hapa

Chimbuvu

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2012
Posts
4,401
Reaction score
2,341
- Judgement azua kizaazaa baada ya Madame B kutoka chumbani na ch..u..,p,y mkononi akimkimbia,,, hakatwi mtu hapa
- baada ya kupokea vijisenti vya kustaafia Baba V aonekana akiwapanga foleni wakina dada na akina mama kumsaidia kula pensheni,,adai foleni ni ishara ya maisha bora,,hakatwi mtu hapa
- Bishanga alala stoo ya vinywaji kwenye bar masaki baada ya kupoteza funguo na gari kuwa na pancha ya mbele, The secretary amjia juu adai Mamndenyi hamtendei haki,,,,hakatwi mtu hapa
- Chocs azitwanga livelive na ladydoctor yahisiwa Arushaone ndio sababu,,,hakatwi mtu hapa
- babu Asprin aoa binti wa miaka 8,,inasemekana kwa umri aliobakiza wa kuishi binti anaweza akawa ni mjane mdogo kuliko wote ikiwa babu Asprin ataendelea kushabikia arsenal,,hakatwi mtu hapa..
hakatwi mtu hapa
 
Last edited by a moderator:
Ngazi yenyewe hata sikuigusa miye;
Nani anayependa foleni kubwa namna hiyo.[

QUOTE=The secretary;7235917]Mamndenyi kashaachia ngazi sina wasiwasi hao wengine huwa ni kama wageni wanakuja nakuodoka mwenyeji wao nipo hapohapo[/QUOTE]
 
Asprin hawajakutendea haki;
au ndo unahamu ya kwenda kuungana na
yule mwana muziki kule aliko? Chimbuvi haumwonei huruma mume mwenzio kwa Madame B
 
Last edited by a moderator:
Bishanga hivi kumbe ni kweli hiyo hapo juu?
Nitajitahidi na maombi naamini Bwana atafanya tu.
 
Last edited by a moderator:
Zilipendwa

Ngazi yenyewe hata sikuigusa miye;
Nani anayependa foleni kubwa namna hiyo.[

QUOTE=The secretary;7235917]Mamndenyi kashaachia ngazi sina wasiwasi hao wengine huwa ni kama wageni wanakuja nakuodoka mwenyeji wao nipo hapohapo
[/QUOTE]
 
Ngoja niendelee kukusoma kama gazeti la
'komoa' si unajua hakuna maswali kwenye gazeti.[

QUOTE=Chimbuvu;7236049]Mimi ni mjumbe tu na mjumbe hauawi[/QUOTE]
 
hakatwi mtu hapa.! Yaani natuma mafile yangu kupitia ubongoni,uti wamgongoni mpaka ktk BT Divice bure...?! Kweli hakatwi mtu.
 
heee hivi upo baba naniiii;
mbona umekuwa kimya kimya.[

QUOTE=Slave;7236074]hakatwi mtu hapa.! Yaani natuma mafile yangu kupitia ubongoni,uti wamgongoni mpaka ktk BT Divice bure...?! Kweli hakatwi mtu.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom