kuumbe nilikuwa sijasoma vizuri aisee...! Itabidi Chimbuvu anieleze vizuri Arushaone yukoje na ladydoctor
Sio wewe binti yangu hata presha isikupande...
kuumbe nilikuwa sijasoma vizuri aisee...! Itabidi Chimbuvu anieleze vizuri Arushaone yukoje na ladydoctor
hiyo shkamoo nitumie kwenye m-pesa!!!!!!
thanks dadito kwa kunituliza munkari
thanks dadito kwa kunituliza munkari
Swali la nyongeza, ni nani huyu ladydoctor? Afu kuna mwingine anaitwa Asprine sijui kama ana nasaba na babu yetu ODM Asprin.
Airtel-Money ndio mpango mzima kwani HAKATWI MTU HAPA....!
Swali la nyongeza, ni nani huyu ladydoctor? Afu kuna mwingine anaitwa Asprine sijui kama ana nasaba na babu yetu ODM Asprin.
Shangaa na wewe muke ya Arushaone...hajambo lakini mumeoJamani jamani!!!! si bora ungeniambia nimepigana na The secretary huyo Chocs mbona sijawahi hata kukwaruzana nae japokuwa mumewe ndio hivyo tena!!!
...tutakatana tu humu...lolUnabisha sasa? Hakatwi mtu hapa