...kwamba humfahamu mke wa Arushaone?!
Au hukutambulishwa!!
Kuna kitu hapa...mbona machale yanancheza!!watu8 anawajua mabinti zake wote,,,, hata mi nashangaa kuwa kuna ladydoctor na Arusha one....... Wakati mie Lady doctor na my mume ni Arushaone...... hebu nisaidie KUSHANGAAAA!!!!!!!!!
...kwamba humfahamu mke wa Arushaone?!
Au hukutambulishwa!!
Kuna kitu hapa...mbona machale yanancheza!!
Kumbe watu8 ndo baba?
Ok..kumbe wewe ni mkwe kwa upande mwingine...basi sawa shemLady doctor huyu ndiye binti yangu na kaolewa na mkwe Arushaone
Huyo aliyetajwa hapo juu ni mamluki...
Hahaha,umeona eeyeah ndio baba huyo!!!!! Mi mwenyewe machale yananicheza atii!!!!!!!!
Acha tu shemeji..ushakua mkwe tuache tu!Machale gani hayo shem...hebu yataje teh teh
Bikira ya uani? Hapo sawa,,si mimba tatu zangulichoropoa wewe?
Ok..kumbe wewe ni mkwe kwa upande mwingine...basi sawa shem
Makavu live! Shhh sitamwambia mtu kama uliweka ya kichina
Hakatwi mtu hapa
Hahahahaha...meipenda hiiHahaha kumbe ulikuwa wajiuliza uendelee kuniita shemeji au mkwe...!!!
Basi niite shemkwe...