my wii Heaven on earth kujifungia huko mbona matunda sioni
Mwambie huku hakatwi mutu chochote!
Hahaha....wala sio kama ya Wasambaa lol
Jambo lakini weye?
me niko poa hofu kwako
Hakatwi mtu hapa
my wii Heaven on earth kujifungia huko mbona matunda sioni
Siku nyingine tutakuta wenzetu washanyakuliwa. Inabidi tubadilike.
Nakutakia usiku mwema my sweet. Luv u sana tu. Mia
Arabela ni takribani miezi 4 sijakutaja ama sijakuona ama hatujaonana kulikoni?
.....mzima...hakatwi mtu hapa....Mzima wewe,,hakatwi mtu hapa