Haki elimu watoa semina kwa walimu katika ukumbi wa nyakahoja

MAVUNO

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2011
Posts
791
Reaction score
655
semina imeanza leo hapa mwanza, na sasa vikundi kutoka katika wilaya 11 za Tanzania bara zinawasilisha changamoto zinazoikabili elimu na kusababisha wanafunzi kutopata elimu sahihi
naendelea kuwajulisha wadau
 
Jamani ni semina ya uongozi na imeshirikisha baadhi ya shule chache
 
Mko bize na semina at this juncture? Kwa nini msisome maoni yaliyotolewa na tume ya uchunguzi ya matokeo mabaya ya wanafunzi? Hizo pesa mngepeleka kwenye vitabu ningewaona mna nia ya kweli. Vinginevyo huu ni upu.uzi mwingine tu.

Taarifa za kwa nini elimu inashuka mnazo, afu mnakaa vikao vingine, wizi mtupu.
 

Mdau usiwe na jazba
ni mafunzo ya uongozi ili kwenda kuyatekeleza hayo uliyoyashauri
ahsante sana kwa mchango
 
Unadhani hapo wala nina jazba? Nimekutolea sauti yangu ya chumbani.

Ila ni ushauri tu.
Ina maana hamna viongozi kwa sasa walio tayari? Kazi ipo.


Mdau usiwe na jazba
ni mafunzo ya uongozi ili kwenda kuyatekeleza hayo uliyoyashauri
ahsante sana kwa mchango
 
Unadhani hapo wala nina jazba? Nimekutolea sauti yangu ya chumbani.

Ila ni ushauri tu.
Ina maana hamna viongozi kwa sasa walio tayari? Kazi ipo.

Haki elimu wanataka kutupa mafunzo katika utekelezaji wa kutatua yale matatizo yaliyoainishwa na tume na changamoto zinginezo
pia tunatafakari maslahi duni ya walimu ili tichukue hatua
 
Usisahau kutujuza mtakayo jadili yanaweza kuwa na manufaa kwa sisi wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…