Maada hii nawaweka hawa mapimbi ambao waliwadhurumu wenzao haki ya kuendelea mbele na sasa Leo wamekutana na watoto wa mjini.
Kwa kifupi psg sio timu kubwa ndiomaana nimeandika kwa herufi ndogo ila Juve ni habari nyingine.Ule uboya wa marefa kuibeba barca naamini wa Italy watakausha mtu na UEFA wameshaonywa baada ya PSG kulalamika.