Haki ipo wapi?

rissou

Member
Joined
Mar 3, 2013
Posts
18
Reaction score
1
Nina ndugu yangu aliyemaliza kidato cha nne,matokeo yake ya awali yalikua ni Div4 ya 28.Matokeo mapya yakaja Div4 ya26
Rafiki wa huyo ndugu yangu awali alikua na 4 ya 31 sasa ana Div3 ya 24
NAOMBA KUJUZWA VIGEZO VILIVYOTUMIKA HAPO NA NECTA
 
ndugu, tz hakuna vgezo ni mwendo wa bahati tu na unamjua yup katk sekta ipi. Ukitaka haki subiri mbinguni.. Kama haki anayo ridhiwan tu ila wengne hata familia ya nyerere haijapewa haki. Kama unaisubir haki stendi angalia utaota mizizi. Ili kdogo upate haki rekebisha maamuzi yako katka sanduku la kupga kura mwaka 2015 kwenye uchaguzi la sivyo kwa waliopo utasubiri haki milele kama fisi anayesubiria mkono wa mtu udondoke. CHANGES WE NEED and ur the part of these CHANGES. Only a drop can change the volume of sea water.
 

Nimeipenda hii mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…