Haki itendeke katika ajira za Jeshi La Polisi

Haki itendeke katika ajira za Jeshi La Polisi

Jmsena

New Member
Joined
Jul 23, 2024
Posts
2
Reaction score
2
Mwezi May 2024 Jeshi la Polisi lilitoa tangazo la ajira kutokana na viwango vya elimu na kada mbalimbali.
Tar 22/07/2024 Tangazo la kuitwa kwenye usaili lilitangazwa, ambapo kwa Tanzania bara idadi ya vijana walioitwa ni 31930(ambapo kwa wenye fani ni 2238)
Kwa upande wa Zanzibar vijana 2068.

Tar 24/09/2024 tangazo la wito wa kuripoti chuo cha Polisi Moshi vijana waliochaguliwa ni 3500 tu kati ya 33998, Je 30498 wapo upande upi?.


Wito: Tunaliomba Jeshi la Polisi lizingatie mambo yafuatayo:-

1. Katika tangazo la ajira Jeshi litoe idadi kamili ya vijana wanaohitajika kutokana na kada husika na kiwango cha elimu.

2. Mchakato wa Usaili uwe wazi na haki itendeke kutokana na vigezo husika vinavyohitajika.

3. Sababu za kutokuchaguliwa zitolewe kupitia Portal Accounts za wahusika.

Inasikitisha sana, vijana wazalendo wenye malengo ya kulitumikia taifa kupitia Jeshi, kila mwaka ajira zinapotoka hawapati nafasi ilihali wana vigezo vyote vinavyotakiwa.
 
Muwe wavumilivu kutakua na round ya pili
 
Mwezi May 2024 Jeshi la Polisi lilitoa tangazo la ajira kutokana na viwango vya elimu na kada mbalimbali.
Tar 22/07/2024 Tangazo la kuitwa kwenye usaili lilitangazwa, ambapo kwa Tanzania bara idadi ya vijana walioitwa ni 31930(ambapo kwa wenye fani ni 2238)
Kwa upande wa Zanzibar vijana 2068.

Tar 24/09/2024 tangazo la wito wa kuripoti chuo cha Polisi Moshi vijana waliochaguliwa ni 3500 tu kati ya 33998, Je 30498 wapo upande upi?.


Wito: Tunaliomba Jeshi la Polisi lizingatie mambo yafuatayo:-

1. Katika tangazo la ajira Jeshi litoe idadi kamili ya vijana wanaohitajika kutokana na kada husika na kiwango cha elimu.

2. Mchakato wa Usaili uwe wazi na haki itendeke kutokana na vigezo husika vinavyohitajika.

3. Sababu za kutokuchaguliwa zitolewe kupitia Portal Accounts za wahusika.

Inasikitisha sana, vijana wazalendo wenye malengo ya kulitumikia taifa kupitia Jeshi, kila mwaka ajira zinapotoka hawapati nafasi ilihali wana vigezo vyote vinavyotakiwa.
Mimi naona kama hicho walichofanya ni sawa tu, kwanza hata hivyo wamewachukua vijana wengi Sana, walipaswa wachukue watu wachache zaidi ya hao.
Katika nchi yenye utawala Kama huu tulionao uliopo hapa nchini, hivi mtu unaanzaje kuhamasika na kutamani kuwa Askari Polisi kwenye Mazingira Kama hayo???
 
Mwezi May 2024 Jeshi la Polisi lilitoa tangazo la ajira kutokana na viwango vya elimu na kada mbalimbali.
Tar 22/07/2024 Tangazo la kuitwa kwenye usaili lilitangazwa, ambapo kwa Tanzania bara idadi ya vijana walioitwa ni 31930(ambapo kwa wenye fani ni 2238)
Kwa upande wa Zanzibar vijana 2068.

Tar 24/09/2024 tangazo la wito wa kuripoti chuo cha Polisi Moshi vijana waliochaguliwa ni 3500 tu kati ya 33998, Je 30498 wapo upande upi?.


Wito: Tunaliomba Jeshi la Polisi lizingatie mambo yafuatayo:-

1. Katika tangazo la ajira Jeshi litoe idadi kamili ya vijana wanaohitajika kutokana na kada husika na kiwango cha elimu.

2. Mchakato wa Usaili uwe wazi na haki itendeke kutokana na vigezo husika vinavyohitajika.

3. Sababu za kutokuchaguliwa zitolewe kupitia Portal Accounts za wahusika.

Inasikitisha sana, vijana wazalendo wenye malengo ya kulitumikia taifa kupitia Jeshi, kila mwaka ajira zinapotoka hawapati nafasi ilihali wana vigezo vyote vinavyotakiwa.
😭😭😭 So Sad
 
Mwezi May 2024 Jeshi la Polisi lilitoa tangazo la ajira kutokana na viwango vya elimu na kada mbalimbali.
Tar 22/07/2024 Tangazo la kuitwa kwenye usaili lilitangazwa, ambapo kwa Tanzania bara idadi ya vijana walioitwa ni 31930(ambapo kwa wenye fani ni 2238)
Kwa upande wa Zanzibar vijana 2068.

Tar 24/09/2024 tangazo la wito wa kuripoti chuo cha Polisi Moshi vijana waliochaguliwa ni 3500 tu kati ya 33998, Je 30498 wapo upande upi?.


Wito: Tunaliomba Jeshi la Polisi lizingatie mambo yafuatayo:-

1. Katika tangazo la ajira Jeshi litoe idadi kamili ya vijana wanaohitajika kutokana na kada husika na kiwango cha elimu.

2. Mchakato wa Usaili uwe wazi na haki itendeke kutokana na vigezo husika vinavyohitajika.

3. Sababu za kutokuchaguliwa zitolewe kupitia Portal Accounts za wahusika.

Inasikitisha sana, vijana wazalendo wenye malengo ya kulitumikia taifa kupitia Jeshi, kila mwaka ajira zinapotoka hawapati nafasi ilihali wana vigezo vyote vinavyotakiwa.
🤣🤣🤣🤣unataka haki polisi ya Tanzania wewe shukuru tu Mungu na kujifanyie kazi nyingine.
 
Kuna mtu aliomba kwa cheti cha form 6 ila anadegree ni ke na hakua na connection yoyote ile na alipita kuanzia interview ya kwanza hadi mwisho hata Ndugu jamaa na marafiki walishangaa sana na kusema alikuwa na MUNGU wake


MUNGU huwa ana nafasi zake katika nafasi mbalimbali za KAZI kwaajili ya watu wake na kwaajili ya kusudi lake, na ibilisi nae huwa ananafasi zake kwa watu wake kwaajili ya kusudi lake ndio hizo connection
 
Kuna mtu aliomba kwa cheti cha form 6 ila anadegree ni ke na hakua na connection yoyote ile na alipita kuanzia interview ya kwanza hadi mwisho hata Ndugu jamaa na marafiki walishangaa sana na kusema alikuwa na MUNGU wake


MUNGU huwa ana nafasi zake katika nafasi mbalimbali za KAZI kwaajili ya watu wake na kwaajili ya kusudi lake, na ibilisi nae huwa ananafasi zake kwa watu wake kwaajili ya kusudi lake ndio hizo connecti
 
Wewe kweli ni mura Sasa apo inausiana nini napost yangu


😂😂😂 We umetoa malalamiko ya watu kutokuchaguliwa ukishuku kwamba may be hawatendi haki katika mchakato wa selection za watu wanaohitajika Ndio maana me nikakupatia huo ushuhuda ili upate picha kamilifu pale unapoona MTU ameomba nafasi akakosa au wewe umeomba ukakosa usianze kulaumu watu au serikali jitazame wewe mwenyewe NDANI yako kama unastahili au Lah B'se MUNGU anatupa tunachostahili i.e tulivyo NDANI na sio tunachotaka
 
😂😂😂 We umetoa malalamiko ya watu kutokuchaguliwa ukishuku kwamba may be hawatendi haki katika mchakato wa selection za watu wanaohitajika Ndio maana me nikakupatia huo ushuhuda ili upate picha kamilifu pale unapoona MTU ameomba nafasi akakosa au wewe umeomba ukakosa usianze kulaumu watu au serikali jitazame wewe mwenyewe NDANI yako kama unastahili au Lah B'se MUNGU anatupa tunachostahili i.e tulivyo NDANI na sio tunachotaka
Mi nimecoment kwakuuliza nasio kulalamika aisee pitia vizuri comment yangu
 
Back
Top Bottom