Haki wapi jamani

shamali

Senior Member
Joined
Jul 6, 2013
Posts
186
Reaction score
56
Mtoto wa miaka miwili mahakama kutoa uamuzi wa kua achukuliwe na baba jamani ni bure, inawezekana kweli???!
 
inawezekana na pia haiwezekani, inategemeana na mazingira (pamoja na kwamba generally kama mama yuko katika hali nzuri tu, mtoto wa miaka chini ya saba kwa ustawi wake bora anatakiwa kukaa na mama), baadaya miaka saba ndo mambo yanaweza kubadilika au yasibadilike. kuna kitabu kizuri sana kimeandikwa kinaongelea pia mambo hayo ya mtoto akae wapi kwa wazazi wasioishi pamoja bofya hapa SHERIA KWA KISWAHILI kukipata

pia angalia picha hizi hapa chini na cover lake

View attachment 103948View attachment 103949

View attachment 103950View attachment 103950View attachment 103950View attachment 103950
 
Mtoto wa miaka miwili mahakama kutoa uamuzi wa kua achukuliwe na baba jamani ni bure, inawezekana kweli???!

mtoto chini ya miaka 7 anapaswa kuishi na mama yake ila endapo mazingira hayakuruhusu mtoto anaweza kuishi na baba akiwa na chini ya miaka 7
 
mtoto chini ya miaka 7 anapaswa kuishi na mama yake ila endapo mazingira hayakuruhusu mtoto anaweza kuishi na baba akiwa na chini ya miaka 7

Naomba kujuzwa hili, alienyang'anywa mtot alishakata rufaa je hakimu atamtatulia tatizo kwa kumrudshia mtot mana nimeckia kauli kwamba mahakimu hawakosoani. Sasa hapo napata utata naombeni mchango wa mawazo ndugu zangu.
Swali jingine ni kuwa rufaa inakuwa tena na mlolongo mrefu au inakuwaje?
 
kama unahisi umeoniwa una haki ya kukata rufaa kwani kuna mahakama ambazo hazina power ya kuamua baadhi ya kesi na mahakama zipo kwaajili ya kuprovide haki za watu zisipotee, rufaa pia huweza kuchukua muda kwani inabidi wasikilize kesi upya na pia maamuzi yakiyotolewa mwanzo kama yalikosewa au hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…