Haki ya elimu kwa watoto

twenty2

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
296
Reaction score
32

Watoto wanahitaji elimu na muda wa kutosha

wa kukaa na wazazi wao sio kuwatumikisha.


Inaonyesha wazai wengi uwanyima watoto haki ya elimu hasa wale watoto ambao waliopotezewa na wazazi,ndugu zao wa karibu,hatima yake ni kuwatumikisha na kupoteza mda mwingi kwa kufanya biashara na sio kwa ajiri ya masomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…