Haki ya kujiunga na vyama vya wafanyakazi hususan walimu.

Fanuel Mazze

Member
Joined
Oct 29, 2014
Posts
41
Reaction score
13
Nafahamu vyama viwili vya walimu CWT na CHAKAMWATA. Je ni sawa CWT kuendelea kuchukua 2% kwa mwalimu ambaye amehamia CHAKAMWATA na kuidhinisha kwa fomu TUF 6 kuwa michango ielekezwe CHAKAMWATA.
Mliohama CWT naomba mnisaidie kama mnaendelea kukatwa 2% kama ada ya uwakala.
 
wewe changamka, mwandikie barua mwajiri nakala CWT, ni haki yako kujitioa, soma sheria ya ajira na mahusiano kazini ibara ya 61 au 68 kama sijakosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…