Haki ya kulipwa gharama kulala njiani mwajiriwa wa kwanza?

Mas The Great

Senior Member
Joined
Dec 27, 2011
Posts
150
Reaction score
64
Wadau nisaidieni, mfano mwalimu nimepangiwa Mwanza nyumbani Mtwara. Ntalala Dar kabla kufika Mwanza. Je pamoja na nauli ya kutoka Mtwara kwenda Mwanza. Nastahili kulipwa gharama ya kulala njiani?
 
The Public Service Regulations, 2003, regulation 13(a)(b) Inasema, ulipwe pesa ya usafiri pamoja na pesa ya kujikimu Kwa Mwajiriwa Mpya. Unachotakiwa Kukifanya Utunze Tiketi Zako Na Stakabadhi Za Malipo Za Nyumba Za Kulala Wageni. Utazionesha Kwa Mwajiri Wako Ili Urudishiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…