Haki katika sheri ni kile kilichoandika katika ile sheria. Hiyo ndo haki.
Kuhusu swala la kumfwata mwenza hiyo serikali ilishasema hawataki kusikia. Uchague ndoa au kazi. Ukitaka ndoa, acha kazi ufwate ndoa.
Kuushauri tafuta njia nyingine yakupata uwamisho.