shugri
Member
- Mar 22, 2010
- 67
- 11
Wadau
naomba niulize muda wa kupiga kura unakaribia, tangu nifike korea nilipewa taarifa kuwa hakuna ubalozi wa chancelor muwakilishi wa korea. Nikataarifiwa na wwenyeji wangu kuwa nikiwa na tatizo ni lazima niwasiliane na balozi wa tanzania aliyopo Japan.
Yote sawa lakini muda wangu wa kukaa huku unatarajiwa kuwa ni mrefu sana, kiasi kwamba sitaweza kurudi nyumbani kwa ajili ya kushiriki haki yangu ya msingi ya kumchagua kiongozi ninayemtaka!
Je mie na wenzagu wengi tutashiriki vipi katika mchakato ambayo ni haki yetu ya msingi?
kama kuna mtu amabye anajua jinsi nnavyotakiwa kushirii naomba anifahamishe.
Just an observation:target:
naomba niulize muda wa kupiga kura unakaribia, tangu nifike korea nilipewa taarifa kuwa hakuna ubalozi wa chancelor muwakilishi wa korea. Nikataarifiwa na wwenyeji wangu kuwa nikiwa na tatizo ni lazima niwasiliane na balozi wa tanzania aliyopo Japan.
Yote sawa lakini muda wangu wa kukaa huku unatarajiwa kuwa ni mrefu sana, kiasi kwamba sitaweza kurudi nyumbani kwa ajili ya kushiriki haki yangu ya msingi ya kumchagua kiongozi ninayemtaka!
Je mie na wenzagu wengi tutashiriki vipi katika mchakato ambayo ni haki yetu ya msingi?
kama kuna mtu amabye anajua jinsi nnavyotakiwa kushirii naomba anifahamishe.
Just an observation:target: