Haki ya kupiga

Haki ya kupiga

Burungutu la pesa

Senior Member
Joined
Feb 21, 2015
Posts
117
Reaction score
32
naomba kujua hatua gan zichukuliwe kisheria endapo mtu atapokonywa haki yake ya kupiga kura. mimi ni mhanga ambaye nimehamishwa kikaz kutoka mkoa niliojiandikishia na sasa npo mkoa mwingine. taarfa za NEC zinasema hutaruhusiwa kupiga kura nje ya kituo ulichojiandikishia. naona haki yangu inapokpnywa. naomba msaada wa kisheria ili nipate haki hii ya msingi kwa mstakabali wa maisha yangu.
 
Back
Top Bottom