Haki ya kusex na mke aliyekufa!!

Mhhhh! Mkeo kafariki na bado utakuwa na uwezo wa kusimamisha nanihii ili umnanihii marehemu mkeo eti unamuaga!!!! Eti hii nayo ni haki ya binadamu!!!! 🙁🙁
 
Hivi do u think Mh. Masabuli waz wrong? Ndo hayo sasa. Mpaka wataoa mbuzi!
 
Hata maandiko yameweka wazi kuwa mambo yatakayotokea siku za mwisho ni ya kutisha!
 
Ni kweli lakini ni within 24hrs zaidi ya hapo imekula kwako ssasa kwa wale wenye tabia ya kuacha wake zao kijijini imekula kwao maana huwezi ku manage kufika huko within 24 hrz tangu avute
hivi hogo la jang'ombe litasimama kweli?? mbona ni uchungu sana kupotelewa na kipenzi chako, kuna kucome kweli hapo?? kweli huu ni mwisho!
 

WanaJF, huu ni uwenda wazimu. Huko tuendako tutasikia mengi. Maiti iage mtu kwa ngono! Lakini nimekumbuka, mbona huwa tunafolenishwa kutoa heshima za mwisho kwa marehemu, kile mnachoita kuaga? Huenda hata hili la Wamisri linawezekana.
 
Majini yakiwa kazini huku yakitekekeza maagizo ya mkuu wao ibilisi
 
hilo ni jambo la kawaida kwa waislam, kama kila shehe duniani kote, zaidi ya wake wa kawaida anaoweza kuoa hadi kufikia wanne, LAZIMA AOE NA JINI MOJA LA KIKE ambalo yeye anafanya nalo mapenzi bila sisi wanadamu wa kawaida kuliona kama ni limke la tano...sasa na mizuka na maiti unafikiri wataogopa kuibaka? maiti imeshakufa imekakamaa, sisi wetu wengine hata kama alikuwa ndugu yako unaogopa hata kumgusa kwasababu ya roho ya mauti iliyo juu yake, wenyewe wanataka wampanue na wambake...no wonder mna uroho wa ngono hadi kuoa wake wanne....
 
Wewe ni nani alikupa kibali cha mmoja !?
 

Subiri Ally Kombo aje hapa!
 

Amini usiamini! Kuna kabila moja hapa Tz, maeneo ya kanda ya Ziwa, wana practise hii tabia ya mwanaume kutembea na marehemu wake kabla ya kuzikwa! Eti sababu kuu ni kuondoa mikosi. Kwa yule mwanaume asiye na guts, hutoa fedha kwa mwanaume mwingine ili kutimiza tendo hilo? Unajua ni kabila gani?
 

wakerewe
 
Aaaaagh. Upuuzi mtupu. Inatia kinyaa.
 
haya sio mapenzi tena bali ni ubakaji.jamani mwogopeni mngu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…