Haki ya matangazo kwa timu zinazoshiriki ligi ya vodacom

elimsu

Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
31
Reaction score
3
Wanamichezo wenzangu naombatujiulize sh. millioni sita zinazolipwa kwa vilabu ligi kuu ya vodacom ni sawa?na vipi kuhusu mgao wa simba na yanga ambao wana washabiki lukuki, je mgao wao ni halali kuwa sawa na timu zingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…