Yohana Daniel
Member
- Mar 18, 2018
- 63
- 33
Habarini za uzima ndugu zangu
Husika na kichwa cha habari hapo juu, naomba Niende moja kwa moja kwenye mada nilikua na mpangaji ambae alilipa pesa ya kodi yake vizuri wakati anaingia shida ni pale tu ilipoisha hakuweza Kulipa tena nikampa notice ya kuhama free bila kunilipa chochote ila huu ni mwezi wa tatu tangu amefunga kufuli lake kwenye chumba changu
Sasa naomba kufahamu najua anaweza kuwa ametega tukibomoa tu atataka kulipwa maana anaweza kusingizia kuwa kuna vitu vimepotea na nilienda kwa mwenyekiti gharama ni kubwa kwa kweli mpaka nahisi napigwa
Je, watalamu wa sheria ni wakati gani sahihi wa Mwenye nyumba kuchukua hatua ya kuvunja na kumpangisha mtu mwingine na akawa yupo sahihi kisheria?
Asanteni kwa ushirikiano
Husika na kichwa cha habari hapo juu, naomba Niende moja kwa moja kwenye mada nilikua na mpangaji ambae alilipa pesa ya kodi yake vizuri wakati anaingia shida ni pale tu ilipoisha hakuweza Kulipa tena nikampa notice ya kuhama free bila kunilipa chochote ila huu ni mwezi wa tatu tangu amefunga kufuli lake kwenye chumba changu
Sasa naomba kufahamu najua anaweza kuwa ametega tukibomoa tu atataka kulipwa maana anaweza kusingizia kuwa kuna vitu vimepotea na nilienda kwa mwenyekiti gharama ni kubwa kwa kweli mpaka nahisi napigwa
Je, watalamu wa sheria ni wakati gani sahihi wa Mwenye nyumba kuchukua hatua ya kuvunja na kumpangisha mtu mwingine na akawa yupo sahihi kisheria?
Asanteni kwa ushirikiano