Raphael focus
JF-Expert Member
- Nov 4, 2018
- 779
- 4,564
Kama mada inavyojieleza hapo juu, karibu ndugu msomaji tujadili.
Tanzania ni nchi inayoendesha shuguli zake za mamlaka kwa mfumo wa Demokrasia kama ilivyo ainishwa katika utangulizi wa katiba.
Haki ya kupiga kura katika chaguzi mbalimbali ndio mamlaka kuu aliyonayo mwananchi katika kuamua hatma ya uongozi na mwenendo wa nchi yake. Kwamaana hiyo mwananchi anayo haki ya kumpigia kura mgombea anayemtaka.
Ikiwa wagombea wanapitishwa na Tume ya Uchaguzi ya Taifa ( NEC ) bila kupingwa na kuwa wagombea pekee katika jimbo, je mwananchi anaijua haki ya kupiga kura?
Nawasilisha.
Tanzania ni nchi inayoendesha shuguli zake za mamlaka kwa mfumo wa Demokrasia kama ilivyo ainishwa katika utangulizi wa katiba.
Haki ya kupiga kura katika chaguzi mbalimbali ndio mamlaka kuu aliyonayo mwananchi katika kuamua hatma ya uongozi na mwenendo wa nchi yake. Kwamaana hiyo mwananchi anayo haki ya kumpigia kura mgombea anayemtaka.
Ikiwa wagombea wanapitishwa na Tume ya Uchaguzi ya Taifa ( NEC ) bila kupingwa na kuwa wagombea pekee katika jimbo, je mwananchi anaijua haki ya kupiga kura?
Nawasilisha.