Haki ya nani wamefanana

Unamuonaje unapokuwa karibu naye? Jaribu kusoma interest zake na ujue nini anapenda na nini hapendi. Ukiona anakuja usimuache akuzoee saaanaa, mpe kweli mapema. Dah, hii ni ajabu.
 
Unamuonaje unapokuwa karibu naye? Jaribu kusoma interest zake na ujue nini anapenda na nini hapendi. Ukiona anakuja usimuache akuzoee saaanaa, mpe kweli mapema. Dah, hii ni ajabu.
Hapo umemaanisha nini? au ulikuwa unajibu sms ukasend humu kimakosa?
 

Dah,we mkali aisee,..
yaani unaweza geuza 1+1 isiwe 2 iwe 11 haha
 

Na huyo usimmege kama kawaida yako wewe si muadilifu, Subiri macho kuona wamrukie kama yule wa kwanza (pacha wake kivuli) halafu urudi tena hapa JF kuendeleza hadithi hii, yaani itapoishia hadithi hii wakikutenda ndio uanzia hapo kama muendelezo wake. AMKA UKIIZUBAA WAJANJA WATAKUMEGEA WACHUMBA ZAKO HADI UKOME
 

Sasa unataka nini?
 
Kwa hiyo ulijiapiza lazima umtafute wa kufanana na yule mwingine? itakucost
 
ukimpata hakikisha unakula 2ndi mapeeeema.

Wewe mwambie UKWELI(utakufanya uwe huru), kwamba una-mfeel sasa, kuwa kama nyundo, piga msumari kichwani, pembeni utapinda then utachelewa kuzama.Nadhani umenipata
 
sawa, nasubiri maelezo yako zaidi kaka. ila hofu yangu ni kwamba kama wanafana kila kitu maana yake hatahuyo aweza kunanihiwa na mwingine hadi ukapatwa na uchungu mwingine tena. hii ni kwa sababu wanafanana kila kitu.


 
Isije ikawa una fantasize kwani kwa maelezo yako huyo wa kwanza hajakutoka moyoni!!
 
maranyingi hata mie huwa ina nitokea kwamba kama kuna msichana nampenda huwa mara nyingi na mfananisha na ex wangu ama current wangu.
 
nahuyo SUBIRI KWANZA, USIFANYE NAE MAPENZI WASHIKAJI WAMTOE BIKIRA ILI WAFANANE VIZURI ZAIDI MKUBWA! We si muaminifu bwana?
 
sina shaka huyo naye anafanana kitabia na yule wa mwanzo umemletea
yuyule mbikiri wa mwanzo
alafu 2005 na 2010 ni miaka ya uchakachuaji BIG TIME

 

naloli, imeandikwa uczn, amri ya 6. Ila utakuta anatamani, anadanganya, nk
jamaa mwita anatimiza hiyo amri, ila wabongo! Wakishaona umekaakaa kiboya wanakuonjea afu dem akishajua utam anang'ang'ania hukohuko. Aache uboya.
 

huyo nae ni bikra? Nipe namba zake mi nikuonjee, usijali naamin hatang'ang'nia kama yule wa zamani. Mi nammega mara moja tu, kiufupi nakusaidia kukutolea bikra mana we upo kwa ajili ya kuoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…