Waungwana,
Nilisaini mkataba wa maandishi kupangisha nyumba hapa Arusha mwezi wa March, 2013; kwa miezi sita (marh - september) 2,100,000 bahati mbaya siku chache kabla ya kuhamia nikahamishwa kikazi.
Nikawasiliana na mwenye nyumba akadai pesa kishaitumia.
Tukakubaliana nimrudishie funguo dalali wake ili akipatikana mtu nirudishiwe pesa yangu. Tumekuwa tukiwasiliana mara kwa mara na jibu lilikuwa hajapata mtu.
Desemba hii nilitakiwa kurudi Arusha, nikamuuliza mwenye nyumba juu ya kuipata nyumba ile akanambia alishapata mtu! Kumuuliza juu ya makubaliano yetu kaanza kunipa majibu ya kukstisha tamaa! Mara anadai mkataba wangu ulishaisha; mara c wajibu wake kulipa sababu c yeye aliyezuia mimi kuhamia!? Nahic ananiruka!
Nitafuatiliaje suala hili kisheria
Nilisaini mkataba wa maandishi kupangisha nyumba hapa Arusha mwezi wa March, 2013; kwa miezi sita (marh - september) 2,100,000 bahati mbaya siku chache kabla ya kuhamia nikahamishwa kikazi.
Nikawasiliana na mwenye nyumba akadai pesa kishaitumia.
Tukakubaliana nimrudishie funguo dalali wake ili akipatikana mtu nirudishiwe pesa yangu. Tumekuwa tukiwasiliana mara kwa mara na jibu lilikuwa hajapata mtu.
Desemba hii nilitakiwa kurudi Arusha, nikamuuliza mwenye nyumba juu ya kuipata nyumba ile akanambia alishapata mtu! Kumuuliza juu ya makubaliano yetu kaanza kunipa majibu ya kukstisha tamaa! Mara anadai mkataba wangu ulishaisha; mara c wajibu wake kulipa sababu c yeye aliyezuia mimi kuhamia!? Nahic ananiruka!
Nitafuatiliaje suala hili kisheria