Elections 2010 Haki yangu ya Kupiga Kura

The Farmer

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2009
Posts
1,658
Reaction score
559
Wana JF Habarini za mchana.

Nahitaji msaada wa ufafanuzi kidogo kwenye swala zima la wagomea waliopita bila ya kupingwa ambao ni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kutakuwa na modality gani itakayotumika siku ya Uchaguzi kwenye majimbo yao (Kwa mfano jombo la Mizengo Pinda). Mini nikiwa kama raia wa Tanzania mwenye haki ya kupiga kura na nisiyetaka kumpigia kura kura mgombea husika.

Haki yangu ya kupiga kura siku ya tarehe 31 ndio itakuwa imepotea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…