Ni kweri dunia imebadirika lkn mabadiliko hayo yasipo zingati mfumo mzima wa maisha yetu mwisho wa siku atakosena nani wa kulaumiwa means too lait
Nakumbuka zamani mim nilikuwa nikibishana na kaka yangu au dada yangu mkubwa kama baba akiniona mim ndo nachapwa bila kuangalia nani kaanza kwa mantiki ya kwamba mkubwa aheshimiwe na mwisho wa siku heshima ina rudi na hamna majadiliano ya kwa nin nimeadhibiwa means i cnt question dudy siku hiyo inakuwa imekula kwangu
leo nimeshuhudia baba mmoja akitoka kazini kisa mtoto kachapwa shuleni baba anaenda shuleni kulianzisha
haki za binadam mnatupeleka wapi tuna zalisha watoto na taifa lenye nidham gani?
Nakumbuka zamani mim nilikuwa nikibishana na kaka yangu au dada yangu mkubwa kama baba akiniona mim ndo nachapwa bila kuangalia nani kaanza kwa mantiki ya kwamba mkubwa aheshimiwe na mwisho wa siku heshima ina rudi na hamna majadiliano ya kwa nin nimeadhibiwa means i cnt question dudy siku hiyo inakuwa imekula kwangu
leo nimeshuhudia baba mmoja akitoka kazini kisa mtoto kachapwa shuleni baba anaenda shuleni kulianzisha
haki za binadam mnatupeleka wapi tuna zalisha watoto na taifa lenye nidham gani?