Haki za Mtoto kwa wazazi waliotengana

lembenikwetu

Member
Joined
Dec 6, 2022
Posts
6
Reaction score
3
Habarini wapenzi, naomba mnisaidie.

Kwa mujibu wa sheria kama wazazi wametengana na watoto akapewa mama awalee. Je, iwapo mama amebadili dini baada ya ndoa kuvunjika
(1) ni kosa kisheria?
(2) Na je kwa sababu hiyo mahakama inaweza kumnyang'anya mama mtoto?
(3) Ni sahihi kwa mtoto kupelekwa kwa mama wa kambo ambaye ni mke wa baba yake lakini baba haishi naye anaishi na mke mwingine?

Naombeni msaada
 
Mtoto anapewa mzazi anayeweza kumtimizia mahitaji muhimu chakula,malazi,mavazi,elimu
 
Kama Mama mzazi ana uwezo wa kulea, mazingira ni rafiki na yuko tayari kuishi na mtoto, hakuna shida.
Ila huyo baba atamaliza bucha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…