Haki za Raia (mtuhumiwa) mbele ya polisi

Haki za Raia (mtuhumiwa) mbele ya polisi

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Leo nitafundisha baadhi ya haki zako raia mbele ya polisi
Polisi ni chombo cha serikali kipo cha ajili ya kulinda raia na mali zao
Kimsingi polisi wanatakiwa kuwa rafiki wa Raia ili kushirikiana kuondosha uharifu
Polisi hawapo juu ya sheria, wakikengeuka wanaweza kushtakiwa na mkono wa sheria ukawakuta

1. Ukamataji
Polisi wanapomkata raia wanapaswa kuwa na hati ya ukamataji
Pia kujitambulisha mbele ya mtuhumiwa Kwa majina na vyeo vyao na nambari zao.
Sio kumzoea mtu kama mwewe

2. Kuhusu matumizi ya nguvu.

Polisi hapaswi kutumia nguvu Kwa mtuhumiwa anayetii amri ya polisi, asiyetoroka
Kufanya hivo ni kinyume cha sheria na inatakiwa kushtakiwa mahakamani

3. Polisi hapaswi kutumia lugha chafu Kwa mtuhumiwa/ matusi.
Mtuhumiwa hayupo hapo kudhalilishwa na polisi Kwa matusi
Kwa kufanya hivo polisi atakuwa kushtakiwa

4 polisi haitakiwi kumpiga wala kumwadhibu mtuhumiwa

Chombo chenye mamlaka ya kutoa adhabu ni mahakama pekee na sio polisi
Ukipigwa na polisi nenda ukashtaki mahakamani

5. Ukifikishwa kituoni hakikisha unaandikiwa kosa ulilokamatiwa nalo.
Kumekuwa na masuala ya kubambikia watu kesi

Ukifikishwa kituoni, kama mfano umekatwa Kwa kosa la kupigana hakikisha ndo hilo usije andikiwa kosa la ubakaji

6. Kuandika/ kutoa maelezo ya awali

Ukiwa polisi ukaambiwa kutoa maelezo ya awali na polisi hakikisha polisi anayeyaandika baada ya kumaliza anakupa usome au akusomee Kwa sauti, au akupe uandike mwenyewe. Una haki ya kuyakataa, kupunguza au kuongeza chochote

7. Mahojiano na polisi
Ukiwa unahojiwa hakikisha yupo mtu mwingine kama shahidi au wakili.
Usikubali kuhojiwa peke yako

8. Rumande
Ukiwa rock up inatakiwa upewe haki zote vizuri Kwa maana ya chakula, malazi na matibabiu kama utakuwa mgonjwa

Ukiwa ikiwa utakosa haki zako inatakiwa ukashtaki mahakamani

9 kuwapa taarifa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu ukamatwaji wako.
Ukiwa polisi hakikisha ndugu wanajua ulipo
Ni haki yako kuwataka polisi kuwajulisha watu wako kuwa upo mikononi mwa polisi

10.Omba kufikishwa mahakamani
Polisi wanakushilia usizidi masaa 24 kabla ya kufika mahakamani kudai haki zako

Ni baadhi tu, Niko hapa hii weekend kujibu swali lolote kuhusu jeshi la polisi

Wasaalam
 
Leo nitafundisha baadhi ya haki zako raia mbele ya polisi
Polisi ni chombo cha serikali kipo cha ajili ya kulinda raia na mali zao
Kimsingi polisi wanatakiwa kuwa rafiki wa Raia ili kushirikiana kuondosha uharifu
Polisi hawapo juu ya sheria, wakikengeuka wanaweza kushtakiwa na mkono wa sheria ukawakuta

1. Ukamataji
Polisi wanapomkata raia wanapaswa kuwa na hati ya ukamataji
Pia kujitambulisha mbele ya mtuhumiwa Kwa majina na vyeo vyao na nambari zao.
Sio kumzoea mtu kama mwewe

2. Kuhusu matumizi ya nguvu.
Polisi hapaswi kutumia nguvu Kwa mtuhumiwa anayetii amri ya polisi, asiyetoroka
Kufanya hivo ni kinyume cha sheria na inatakiwa kushtakiwa mahakamani

3. Polisi hapaswi kutumia lugha chafu Kwa mtuhumiwa/ matusi.
Mtuhumiwa hayupo hapo kudhalilishwa na polisi Kwa matusi
Kwa kufanya hivo polisi atakuwa kushtakiwa

4 polisi haitakiwi kumpiga wala kumwadhibu mtuhumiwa
Chombo chenye mamlaka ya kutoa adhabu ni mahakama pekee na sio polisi
Ukipigwa na polisi nenda ukashtaki mahakamani

5. Ukifikishwa kituoni hakikisha unaandikiwa kosa ulilokamatiwa nalo.
Kumekuwa na masuala ya kubambikia watu kesi

Ukifikishwa kituoni, kama mfano umekatwa Kwa kosa la kupigana hakikisha ndo hilo usije andikiwa kosa la ubakaji

6. Kuandika/ kutoa maelezo ya awali
Ukiwa polisi ukaambiwa kutoa maelezo ya awali na polisi hakikisha polisi anayeyaandika baada ya kumaliza anakupa usome au akusomee Kwa sauti, au akupe uandike mwenyewe. Una haki ya kuyakataa, kupunguza au kuongeza chochote

7. Mahojiano na polisi
Ukiwa unahojiwa hakikisha yupo mtu mwingine kama shahidi au wakili.
Usikubali kuhojiwa peke yako

8. Rumande
Ukiwa rock up inatakiwa upewe haki zote vizuri Kwa maana ya chakula, malazi na matibabiu kama utakuwa mgonjwa

Ukiwa ikiwa utakosa haki zako inatakiwa ukashtaki mahakamani

9 kuwapa taarifa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu ukamatwaji wako.
Ukiwa polisi hakikisha ndugu wanajua ulipo
Ni haki yako kuwataka polisi kuwajulisha watu wako kuwa upo mikononi mwa polisi

10.Omba kufikishwa mahakamani
Polisi wanakushilia usizidi masaa 24 kabla ya kufika mahakamani kudai haki zako

Ni baadhi tu, Niko hapa hii weekend kujibu swali lolote kuhusu jeshi la polisi

Wasaalam
Hayo tuliyawahi sisi kwa Polisi wa mkoloni.

Sasa hivi hawaelewi kabisa hayo, naona mafunzo yao yote ni ukatili na unyanyasaji wa raia.
 
Leo nitafundisha baadhi ya haki zako raia mbele ya polisi
Polisi ni chombo cha serikali kipo cha ajili ya kulinda raia na mali zao
Kimsingi polisi wanatakiwa kuwa rafiki wa Raia ili kushirikiana kuondosha uharifu
Polisi hawapo juu ya sheria, wakikengeuka wanaweza kushtakiwa na mkono wa sheria ukawakuta

1. Ukamataji
Polisi wanapomkata raia wanapaswa kuwa na hati ya ukamataji
Pia kujitambulisha mbele ya mtuhumiwa Kwa majina na vyeo vyao na nambari zao.
Sio kumzoea mtu kama mwewe

2. Kuhusu matumizi ya nguvu.
Polisi hapaswi kutumia nguvu Kwa mtuhumiwa anayetii amri ya polisi, asiyetoroka
Kufanya hivo ni kinyume cha sheria na inatakiwa kushtakiwa mahakamani

3. Polisi hapaswi kutumia lugha chafu Kwa mtuhumiwa/ matusi.
Mtuhumiwa hayupo hapo kudhalilishwa na polisi Kwa matusi
Kwa kufanya hivo polisi atakuwa kushtakiwa

4 polisi haitakiwi kumpiga wala kumwadhibu mtuhumiwa
Chombo chenye mamlaka ya kutoa adhabu ni mahakama pekee na sio polisi
Ukipigwa na polisi nenda ukashtaki mahakamani

5. Ukifikishwa kituoni hakikisha unaandikiwa kosa ulilokamatiwa nalo.
Kumekuwa na masuala ya kubambikia watu kesi

Ukifikishwa kituoni, kama mfano umekatwa Kwa kosa la kupigana hakikisha ndo hilo usije andikiwa kosa la ubakaji

6. Kuandika/ kutoa maelezo ya awali
Ukiwa polisi ukaambiwa kutoa maelezo ya awali na polisi hakikisha polisi anayeyaandika baada ya kumaliza anakupa usome au akusomee Kwa sauti, au akupe uandike mwenyewe. Una haki ya kuyakataa, kupunguza au kuongeza chochote

7. Mahojiano na polisi
Ukiwa unahojiwa hakikisha yupo mtu mwingine kama shahidi au wakili.
Usikubali kuhojiwa peke yako

8. Rumande
Ukiwa rock up inatakiwa upewe haki zote vizuri Kwa maana ya chakula, malazi na matibabiu kama utakuwa mgonjwa

Ukiwa ikiwa utakosa haki zako inatakiwa ukashtaki mahakamani

9 kuwapa taarifa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu ukamatwaji wako.
Ukiwa polisi hakikisha ndugu wanajua ulipo
Ni haki yako kuwataka polisi kuwajulisha watu wako kuwa upo mikononi mwa polisi

10.Omba kufikishwa mahakamani
Polisi wanakushilia usizidi masaa 24 kabla ya kufika mahakamani kudai haki zako

Ni baadhi tu, Niko hapa hii weekend kujibu swali lolote kuhusu jeshi la polisi

Wasaalam
Labda sio Polisi wa Ccm
 
Umefanya vizuri kutupa elimu hii naamini itatusaidia sana ingawa ni muhimu sana ikaangukia kwa watu wema pekee lakini tusisahau kuna wahalifu na wanakera kuliko hata hao Polisi tunapo weka ugumu au complication za kuwashughulikia wahalifu itakula kwetu nimeshuhudia wahalifu wa madawa ya kulevya wanavyo kwepa mkono wa sheria kwa kutumia technicalities za kisheria.

Pia watuhumiwa wamegawanyika katika makundi mbalimbali wapo magaidi,Wanyang'anyi na wengine wengi ambao katika kutekeleza uhalifu wao ni ama zao ama Kwa yeyote atakaye jaribu kuwakamata nadhani hapa wakamataji wakifanya uzembe itakula kwao lakini bado ninakubaliana na mtoa hoja kwamba kufanya mambo kinyume na sheria hakubaliki na kifanyike kila kinachowezekana kutunza utu,kulinda haki na kuondoa unyanyasaji katika ukamataji hasa kwa wale waungwana.
 
Safi mkuu, mtoto wangu nimemwambia unaweza kuwa mtu yoyote apa duniani lakini ukiwa polisi tusijuane kamtafute baba mwngne.. nawamaindi sana ma form 4 failure hawa.
 
Umefanya vizuri kutupa elimu hii naamini itatusaidia sana ingawa ni muhimu sana ikaangukia kwa watu wema pekee lakini tusisahau kuna wahalifu na wanakera kuliko hata hao Polisi tunapo weka ugumu au complication za kuwashughulikia wahalifu itakula kwetu nimeshuhudia wahalifu wa madawa ya kulevya wanavyo kwepa mkono wa sheria kwa kutumia technicalities za kisheria.

Pia watuhumiwa wamegawanyika katika makundi mbalimbali wapo magaidi,Wanyang'anyi na wengine wengi ambao katika kutekeleza uhalifu wao ni ama zao ama Kwa yeyote atakaye jaribu kuwakamata nadhani hapa wakamataji wakifanya uzembe itakula kwao lakini bado ninakubaliana na mtoa hoja kwamba kufanya mambo kinyume na sheria hakubaliki na kifanyike kila kinachowezekana kutunza utu,kulinda haki na kuondoa unyanyasaji katika ukamataji hasa kwa wale waungwana.
Hakuna mharifu asiyekamatika na mbinu zipo nyingi
Kikubwa ni utu na heshima ya mtu inalindwa
Hata kama ni mtuhumiwa wa ugaidi, ubakaji , madawa n.k
Itathibitisha mahakamani
 
Back
Top Bottom