mtuhumiwa akikamatwa kitaratibu lazima ahojiwe na kupekuliwa na kama ushahidi upo ashitakiwe mahakamani, kama kesi imepelelezwa na kuonekana hakuna ushahidi anaweza kuachiwa pale pale polisi, akigoma kukamatwa polisi watatumia nguvu ya kadri kuwezesha kukamatwa kwake na anapofanya hivyo anafanyakazi kwa mujibu wa sheria, pindi akipelekwa mahakamani ushahidi ukakosa akaachiwa huru askari polisi hawezi kushitakiwa kwa sababu amefanya kwa mujibu wa sheria ila akikiuka taratibu/sheria anaweza kushitakiwa !