haleluya!
napenda kujua ni matatizo yapi wanawake wanakutana nayo juu ya haki yao ya kumiliki mali chini ya sheria za kiislam, sheria za kimila, na statutory law
kumiliki mali kila mtu kila dini inaruhusu raia yeyote kumiliki mali. wakristo,waislam na wapagani wote wanaruhusu. ila ukija kwenye suala la ugawaji mirathi, hapo ndipo kuna tofauti kadhaa. bofya SHERIA KWA KISWAHILI