Hollyreath
Senior Member
- Apr 22, 2013
- 126
- 12
Jaman hivi ustawi wa jamii idara ya watoto, mbona hatuelewi, imagne mtoto anaishi na shangazi yake ,anamfanyia ukatili kwa kumpiga na kumnyima chakula,,halafu ofisi za ustawi wa jamii,,zina sema hawawez kuingilia uhuru wa familia,kwasababu yule ni ndugu wa damu. Can this be serious???