Haki zangu ni zipi iwapo nikikamatwa na polisi

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,074
Reaction score
3,743
Kwanza mods naomba wanisamehe kwa kuweka hii mada jukwaa ambalo sio lake kule jukwaa la sheria sijui kesi ni nyingi mahakamani naweza post kitu kisipate hata majibu

Anyway

Nilikuwa naomba mwongozo wa kujua haki zangu pindi ninapokamatwa na polisi kwa makosa mbali mbali

Kuanzia polisi wa usalama barabarani

Polisi wa kawaida

Na wale tigo wale

Na kama kupekuliwa, kuhojiwa, kupelekwa mahabusu au kituoni ni haki zipi ambazo zinasimama kuni back up na polisi anatakiwa afuate procedure zipi??

Yaani wenye ufahamu, na uelewa wa haya mambo tusaidiane
 

angalia kwenye website yao. Ila kwa msaada zaidi soma signature yangu hapa chini :argue:
 
ITV walikuwa na kipindi leo inayohusu hiyo kitu,nadhani ni mida hiyo hiyo uliyopost hii mada.
 
Haki yako ni kupigwarisasi na kufa.
 
Una haki ya kukenua hadi kutuo cha polisi.Natania bwana mi mwenyewe nataka kujua.
 
angalia kwenye website yao. Ila kwa msaada zaidi soma signature yangu hapa chini :argue:

Aisee inaelekea wewe ni ASKARI tena hujitambui au ni gamba gumu! Askari wa usalama barabarani Kumpiga raia!!?? kweli njagu wewe hujitambui. Askari ni lazima umuonyeshe mtuhumiwa kitambulisho chako, Unamuelezee raia kosa analotuhumiwa kabla ya kumu arest! Hamjifunzi Majeshi ya nchi zingine yanavyo watreat watuhumiwa? maana kazi ya polisi sio kuthibitisha kosa, hiyo ni kazi ya mahakama.
 
wanasheria mbona mnatuangusha? Mko wapi? Au busy kugonga mihuri?
 
Kwanza
*unatakiwa usiteswe!( kupigwa, kusulutishwa)
* utakiwi kulazimishwa kutoa ushahidi.
*unatakiwa ukamatwe na askari mwenye uniform au kitambulisho.
 
Jamani angalia kwenye mada za mwanzo hapo juu.
 

Umeamka nazo kichwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…