Hakika huu mwaka ni wa mabadiliko hadi kwenye soka

PNC

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
8,106
Reaction score
14,353
1:Mabadilikoo had kwa Arsenal kumfunga Bayern 2:0 wakat kapoteza na olympiacos na Zagreb ukwel hata wao hawakutegemea
2:Mabadiliko kwa Chelsea had sasa yupo taabani vuvuzela mourinho kashindwa kabisa kung'ara mwaka huu maana Chelsea haina tofaut na Qpr
3:Mabadiliko kwa mashetani wekundu kwani hakuna aliyeamini wangeongoza ligi kuu kwani walibezwa kwa kusajili wazee na pongez zizid kwa Antony Martial
4:Maadiliko kwa Liverpool kwan japo tuliamin kuwa huenda klopp akatua liverpool ila hatukuzan kama ni mwaka huu
4: NATABIRI PIA MABADILIKO YATAONEKANA KWA BINGWA MTETEZ WA UEFA KUTETEA UBINGWA HUO NA KUIVUNJA ILE REKOD YA AC MILAN ILIYODUMU KWA ZAID YA MIAKA 20
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…