Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Hakika mwalimu alishinda vita ya kijamii, sidhani hapa Africa ana mpinzani katika social policies ambazo hadi leo tunafaidika nazo.
Sidhani hii leo kuna kiongozi anaweza akawa honest kuwa aliteleza.
Katika interview hii, anakiri kutaifisha viwanda ilikuwa ni kosa kubwa mno akiongeza na usimamizi mbovu wa viwanda hivyo.
Pia anaongeza kuwa hawakuhitaji ku-nationalize kila kitu, kwa mfano ardhi ilikuwa chini ya mikono ya mamlaka kupelekea kutoweza kuwa available kwa mtu yoyote alietaka kuiendeleza kiuchumi.
Unaweza kumsikiliza hapa zaidi:
View: https://youtu.be/JGzC8AhERU8?si=V-kbXvBe4EXcMAhy
Sidhani hii leo kuna kiongozi anaweza akawa honest kuwa aliteleza.
Katika interview hii, anakiri kutaifisha viwanda ilikuwa ni kosa kubwa mno akiongeza na usimamizi mbovu wa viwanda hivyo.
Pia anaongeza kuwa hawakuhitaji ku-nationalize kila kitu, kwa mfano ardhi ilikuwa chini ya mikono ya mamlaka kupelekea kutoweza kuwa available kwa mtu yoyote alietaka kuiendeleza kiuchumi.
Unaweza kumsikiliza hapa zaidi:
View: https://youtu.be/JGzC8AhERU8?si=V-kbXvBe4EXcMAhy