We jamaa ujaoa ndo maana, ukiwa kweny ndoa utagundua ndoa sio uboifriend na girlfriend ni level nyingine kabisa....kwa iyo uwezi sema tu siumizwi na mke wangu aliyofanya na ikatokea,.. Marriage is not walking in the parkHupaswi kuumia roho kwajili ya Mwanamke aliyeamua kufanya yake akiwa Timamu.
Umia roho kwasababu ya Umasikini na ukosefu wa pesa.
Mkuu, hali ya kuwa na wivu hata mimi ilishanikuta sana enzi hizo na unaweza umia sana...ila yafaa ifike mahala usiumizwebna wivu wewe kama MWANAUMEaisifiae mvua imemnyea!
mkuu huanza kupenda huja wivu hivi vitu huja tu huviundi hata mimi nilijiona kuntu kwenye kupenda! lkn nilishangaa imekuja tu tena + wivu! ha ha ha wacha wewe.. kusema kweli wivu siupendi na ndicho kilichonifanya nipambane nao kwani wivu unakosesha amani.. nashukuru jambo hili nimelimudu.
we shauri ni jinsi gani watu watapambana na wivu sio tusiwe na wivu.. maana huko kulia,stress,kufatilia ni matokeo ya wivu hivyo wivu ndo tatizo so ulichotakiwa kuleta hapa ni namna gani ya kupambana na tatizo wivu...?
swala la wivu ni nature,ndo mana hata kuku wanapigana kisa ni wivu mbwa na viumbe wengine,wewe unatushauri tusiwe na wivu kwa wake zetu yani linakuja jamaa linamshika mkeo upo hapo usisikie wivu,Umuhimu wake ni upi mkuu?
Jitahidi usimwonee wivu kabisa.
Wewe una uhakika kuwa mimi sijaoa?We jamaa ujaoa ndo maana, ukiwa kweny ndoa utagundua ndoa sio uboifriend na girlfriend ni level nyingine kabisa....kwa iyo uwezi sema tu siumizwi na mke wangu aliyofanya na ikatokea,.. Marriage is not walking in the park
Majira na aina ya maisha vyote vinabadilika, miaka ya zamani ni tofauti na sikuhizi.d
swala la wivu ni nature,ndo mana hata kuku wanapigana kisa ni wivu mbwa na viumbe wengine,wewe unatushauri tusiwe na wivu kwa wake zetu yani linakuja jamaa linamshika mkeo upo hapo usisikie wivu,
jamani sera zenu zimenishinda wivu muhimu
Kwanini umpende mtu kupita kiasi?Wivu wa kulialia upi,!?... Wivu unatokana na wewe unavompenda mkeo, ukimpenda kupita kiasi wivu utakuja ivo ivo, ukimpenda kawaida, wivu ni wa kawaida tu
mkuu unafikiri haya maelezo yako yametibu..? nimekwambia wivu huja tu so leta mbinu za kuavoid wivu hapo utakuwa umewasaidia wengi.. usiseme hutakiwi kuwa na wivu kana kwamba wivu ni kitu cha kuchukua then utakirudisha basi umesolve problem..Mkuu, hali ya kuwa na wivu hata mimi ilishanikuta sana enzi hizo na unaweza umia sana...ila yafaa ifike mahala usiumizwebna wivu wewe kama MWANAUME
Wivu isiwe ni "case" kwako no matter imekutokea vipi.
Unakuaje na Wivu kwa mtu mzima mwenye akili na aliyefunzwa au uliyemwonya kuwa usifanye hivi na hivi?
Kuwa na Wivu na Maendeleo na si Mwanamke.
Mbaya zaidi ni Wanaume wanaowachunguza wanawake hadi kuwatrack simu zao.
Haifai.
Kwanini umpende mtu kupita kiasi?
Hujui huyo akikusaliti ndio utaweza kukata roho?
Si katai ila nikukumbushe kitu, kila mtu anajiumbia ulimwengu wake kutokana na mtazamo wake,me bado na amini waaminifu wapo kwasababu naanzia kwenye maisha yangu kama mimi naweza kuwa mwaminifu kwanini wengine wasiwe waaminifu,sasa kwa kuwa wewe uwa unamsaliti mpenzi wako una amini wanawake wote wanafanya hivyo si sawa hata kidogo,uwezi kujua wema kama si mwema na uwezi kujua ubaya kama si mbaya una amini watu si waaminifu kwa sababu wewe si mwaminifu siku ukiwa mwaminifu utawaona waaminifu na wapo wengi sana,ila kwa kuwa uko ulimwengu wa uchafu utaona uchafu tu.Majira na aina ya maisha vyote vinabadilika, miaka ya zamani ni tofauti na sikuhizi.
Sikuhizi ukiwa na wivu kwa Mwanamke yeyote utakufa mapema sana.
Access ya wao kukucheat hata kama umemuoa kwa ndoa ni kubwa sana.
Usijipe BP mkuu.
Usipo mpenda hutokata roho?Kwanini umpende mtu kupita kiasi?
Hujui huyo akikusaliti ndio utaweza kukata roho?
Kwahiyo wewe unaamini kumfuatilia mwanamke hivyo ndio sababu ya kumzuia kuchepuka kama ameamua kuchepuka?Mtoa mada ni mwenye wivu sana na huu ni uzi wa kujifariji, wanawake ni viumbe walio chini yetu wakati mwingine kumfatilia ni muhimu sana kwa masilahi ya watoto wako, afya yako na taifa kwa ujumla, sasa wewe leta mambo yako ya kumshauri mkeo kondomu,ataona ni kama umempa ruhusa na ataliwa hadi tigo halafu uje tena kuomba ushauri.
Sio kweli,Si katai ila nikukumbushe kitu, kila mtu anajiumbia ulimwengu wake kutokana na mtazamo wake,me bado na amini waaminifu wapo kwasababu naanzia kwenye maisha yangu kama mimi naweza kuwa mwaminifu kwanini wengine wasiwe waaminifu,sasa kwa kuwa wewe uwa unamsaliti mpenzi wako una amini wanawake wote wanafanya hivyo si sawa hata kidogo,uwezi kujua wema kama si mwema na uwezi kujua ubaya kama si mbaya una amini watu si waaminifu kwa sababu wewe si mwaminifu siku ukiwa mwaminifu utawaona waaminifu na wapo wengi sana,ila kwa kuwa uko ulimwengu wa uchafu utaona uchafu tu.
Sasa wewe usimshauri kuhusu Condom akagongwe kavu kavu na kukuletea STD's ndani.Mtoa mada ni mwenye wivu sana na huu ni uzi wa kujifariji, wanawake ni viumbe walio chini yetu wakati mwingine kumfatilia ni muhimu sana kwa masilahi ya watoto wako, afya yako na taifa kwa ujumla, sasa wewe leta mambo yako ya kumshauri mkeo kondomu,ataona ni kama umempa ruhusa na ataliwa hadi tigo halafu uje tena kuomba ushauri.