Hakika ng'ombe wa maskin hazai

ow senetor umekuja, thread karibia zote kasoro hii, mimi nime revenge tu, cz hata swali lako lilikua na utata..

naona kama unajibu hewa tu,maana senetor mwenyewe kaisha kula Ban!
 


binti unamaneno wewe.
 
pole sana vuta subra Mungu atakusaidia pia uskate tamaa Mungu akawii wala hawai kujibu maombi hujibu kwa wakati wake kikubwa mwamini Mungu tu na kujituma si nguvu nyngne
 
you need to pray, the only way to success just COMMIT WHATEVER YOU DO TO GOD AND YO PLAN WIL SUCCEED,
Dont give up, si unajuaga kukata tamaa ni dhambi vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…