Hakika nitachangia JF ili isonge mbele na kuwa msaada kwa kizazi kijacho. (NAOMBA MNIUNGE MKONO).

mawazo yangu ni mchango tosha na buum si ela ya kupiga domo kiac hicho pov jing utafikiri autarudisha we jpange ukasome leta mbwebwe t
 
nina uhakika mwez ujao maelezo yatakua tofaut
 
mawazo yangu ni mchango tosha na buum si ela ya kupiga domo kiac hicho pov jing utafikiri autarudisha we jpange ukasome leta mbwebwe t

Dah leo tarehe 20 umenionyesha upande wa pili wa akili yako, nadhani hujui kiasi cha chini kabisa kuchangia JF ni kiasi gani? Nadhani kunasehemu nimesema najua hela si nyingi lakini nitajibana ili nichangie JF. Sikuawahi kujua kama ni kilaza namna hii hata kama nikachangia then life likanichapa je unadhani nitakuja kwa babaako kuomba msaada?

Jipange kaka tena ujitahidi kupunguza mawazo kichwani kwako, eti unadai michango yako inatosha michango ipi au hizi pumba zako?

Tafadhari tusitafutiane Ban ili mtuchafulie record zetu humu.
 
nina uhakika mwez ujao maelezo yatakua tofaut

Sipendi kuongea hii kauli lakini inanibidi.

''Sio kila mtu akiishiwa boom anapigika wengine tuna backup ya nguvu tena wazazi waelewa''.

Sipendi tufike mbali kaka.
 
thanks comrade for this compliment , am hiumble,and i appreciate ...
JUST REMEMBER THIS SHARING IS CARING
Jambo jema kuchangia JF ili tuweze kuwezesha kimawazo na ushauri watu wengine tukomboe jamii yetu iliyo gizani
piga shule tukomboe nchi
regards
 
Kiny siko nyuma naunga tela la kuhunga mkono hoja napiga magoti kama mchungaji wa kujitolea kuombea wana jukwaa wote Mungu awabariki sana lakini naomba kutaja angalau wachache japo mganga mkweli, ze dudu01,rugas na wengine wote except wanaotoa habar za uhongo na matusi Mungu awe nanyi karibu jukwaa la gossiple
 
mawazo yangu ni mchango tosha na buum si ela ya kupiga domo kiac hicho pov jing utafikiri autarudisha we( jpange ukasome )leta mbwebwe t
kwenye mabano hapo wewe unasoma? Alafu acha kudandia treni kwa mbele ,alafu sio kila thead unachangia jukwaa la majungu linakufaa sana
 

1 Love brother.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…