Hakika nyakati zinakimbia, nakumbuka wimbo wa dataz/joan wakionyana kuhusu mume wa mtu leo zuchu analazimisha uke wenza kwa nguvu na vijana wana-cheer

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
"Sikiliza nikuambie wewe dataz mume wa mtu ni hatariiii...๐ŸŽถ"

View: https://youtu.be/EPQiEXLzYY4?si=B60DDmFLAMapuPFh
Siku hizi mna visabengo kwenye muziki sasa mnakaa kuhamasishwa alafu yakiwakuta ya kuwakuta mnatia huruma mitandaoni ๐Ÿ˜‚

"oooh sijui leo ndio ujue mimi ni mke mwenzako hata kama hautaki ooh ๐ŸŽถ.."

Aya bwana tuseme yametushinda, anyway maisha yaendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ