Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
Laiti ningekuwa namfatilia huyu jamaa ningejaribu kumsifia na kumkosoa....kwa popote nlipokuwa namwangalia.
Hivi wakuu anagusa zile Level za kina Joti, Idriss,Jaymond, Nalimi , Bro K , MauFundi, Mkudesimba na wengineo
Kwakweli sjamfatiliaga huyu mwamba ila wadada wakiongozwa na Pisi yangu akianza kumporomosha kwenye Status Daaah
Wakuu nipeni kayfa kuhusu huyo bwana mkubwa HAKIKA RUBEN ana moto wake au ndiyo kawaida???
Hivi wakuu anagusa zile Level za kina Joti, Idriss,Jaymond, Nalimi , Bro K , MauFundi, Mkudesimba na wengineo
Kwakweli sjamfatiliaga huyu mwamba ila wadada wakiongozwa na Pisi yangu akianza kumporomosha kwenye Status Daaah
Wakuu nipeni kayfa kuhusu huyo bwana mkubwa HAKIKA RUBEN ana moto wake au ndiyo kawaida???