Hakika Simba Kuchechea Kichapo Leo

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Napenda kuwasalimu wote, Asalam Alyekum, Bwana asifiwe na Tumsifu Yesu Kristu...Amen

Wakati hali ya hewa hapa jiji ikiwa shwari kabisa kajua na kajoto kwa mbali macho na masikio ya wengi yatakuwa huko Congo ya Tsheked kushudia mtanange wa unaosubiriwa kwa hamu kubwa kati ya Simba ya Tanzania Na As Vita Club.

Wakati tunasubiri game hiyo taarifa rasmi tulioipata mapema hivi leo toka sehemu mbali mbali za Kiufundi, maeneo hayo ni Miono Bagamoyo, Konde pemba na mchamba wiwa Unguja bila kusahau milima ya uluguru.

Kwa mujibu wa vyanzo hivyo vya uhakika kabisa toka pande hizo zinatanabaisha kuwa timu ya Simba itafugwa magoli 2:1

Hata hivyo chanzo hicho kina sema idadi ya magoli yameoungua baada ya bench la ufundi kutumia mbinu za kiitelejensia na kuzifanyia kazi.

Ni vema kwa mashabiki wa simba tukajiandaa kisaikolojia kubali matokeo hayo.

Niwatakie siku njema

Niatarudi hapa saa 4:30, usiku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nchi zetu Kusini mwa Jangwa la Sahara tupo nyuma kimaendeleo. Karne ya 21 bado unategemea watu masikini wa Bagamoyo na Miono wakupe ushindi kwenye mechi ya mpira. Tujipe pole.


Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa Sheikh Yahya. Umefufuka nini?
Habari za kuzimu?Kunanyesha?
Mapopoma mengine ujinga mtupu.
 
Mwana yanga mwenzangu naona umekuja mbio sana[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi manara nitaficha sura yang WAP !hii ninoma wazee,5du
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…