Hakika ya vitamu havikosi sumu ndani yake.

Hakika ya vitamu havikosi sumu ndani yake.

ahahahhaha!!! Hii kali. Skendo haziishi tu kwa hawa jamaa
 
Mi s'jaelewa hapa!!!

Hao viongozi wa dini hiyo wanajifanya wako mstari wa mbele kupinga utoaji mimba na matumizi ya kinga wakati wa kujaamiiana na kujaribu kuwaasa waumini wenye mawazo hayo ni bora wavumilie,wazae hao watoto kisha kama hawawezi kuwalea ni bora wawapeleke kwao wakawalee,wakati na wenyewe wana maskandali kibao yanawaandama ya kunajisi hivyo vitoto.
Upo mkulu?Nadhani ujumbe utakuwa umekufurahisha huu!!
 
Back
Top Bottom